Marais Watano Tajiri Barani Afrika


Nguvu duniani huleta umaarufu na pia utajiri. Wakuuu wa Nchi au Serikali wanatakiwa kuwa watumishi wa watu, ila hii kazi inaweza kuwa ngumu na isiyokuwa na shukrani. Watumishi wanapaswa kuwa na upendo wa kweli na Nchi yao kutekeleza majukumu hayo.


Watumishi halisi wanapaswa kuwa wamoja na watu wao na lazima kujua hisia za mtu wa kawaida. 
Rais mstaafu wa Urugwai Jose Mujica anapendwa sana kwa kutokujali nguvu alizonazo na kuamua kuishi uraiani na watu wakawaidi wa Urugwai. Wakati mwingine ni vyema kuwa tajiri kwa sababu itamruhusu mtumishi kufikisha lengo la kazi yake bila hofu ya fedha za kuangalia familia yake. Na fedha zinawasumbua sana wakuu wengi wa nchi, Hawa ni Vioungozi watano wa Afrika wenye pochi nene.

Paul Biya –Thamani $200M (Tsh 461b)
Nchi: Kameruni. Miaka ya uongozi: 32

Paul Biya amekuwa Rais wa Kameruni tungu 6-11-1982. Thamani yake inakadiriwa kufikia $200M. Mwaka 2009 Tovuti ya gazeti la RU 89 lilitoa taarifa ya kwamba mapumziko ya Rais wa Kameruni ndiyo makubwa kuliko rais yeyote yule duniani. Inasemekana anatumia $40,000 kwa siku kukodisha ‘villa’




Uhuru Kenyatta- Thamani $500M (Tsh 1.2 Trillion)
Nchi: Kenya, Miaka ya uongozi: 2



Uhuru MUIGAI Kenyatta ni Rai wa Kenya na mwana wa Rais wa kwanza wa Kenya, Jomo Kenyatta. Mwaka 2011, ‘Forbes’ ilikadiria thamani yake kuwa dola milioni 500. Mali yake nyingi inatokana na majengo na familia yake Rais anamiliki hisa kwenye kampuni kubwa ya maziwa ya nchini kenya ‘Brookside Dairies’ chombo cha habari Mmediamax, Heritage Hotels, Commercial Bank of Africa na mamia ya elfu ya ardhi kuu nchini Kenya. 



Teodoro Obiang Nguema Mbasogo – Thamani $600M (Tsh 1.4 Trillion)
Nchi: Guinea ya Ikweta , Miaka ya Uongozi: 34

Teodoro Obiang Nguema Mbasogo ni Rais wa Guinea ya Ikweta . Aliingia madarakani mwezi Agosti 1979 kwa kumpindua mjomba wake Francisco Macias Nguema katika mapinduzi ya kijeshi. Amesimamia mafuta kwenye nchi hiyo toka mwaka 1990. Kwa kifupi Rais na familia yake wanamiliki uchumi wa Nchi. Kwa mujibu wa ‘Forbes’ 2006 ilisemekana ana $600M. Mwaka 2011 Serikali ya Marekani walikamata mali zenye thamani ya $70M za mwanae Teodoro Nguema Obiang Mangue(42) ambeye pia ni Makamo wa pili wa Rais.. Japokuwa Guine ni nchi ya pili kwa utajiri barani Afrika, idadi kubwa ya watu wanaishi chini ya mstari wa umasikini.


Mohammed VI - Thamani : $2.1B (Tsh. 6,916,500,000,000.00 T)
Nchi: Morocco, Miaka ya uongozi: 15

Mohammed VI ni Mfalme wa Morocco. Na pia ni mfanya biashara anayeongoza nchi kwake. Kwa mujibu wa ‘Forbes’ ana thamani zaidi ya $2.5B. Mfalme alipata taji lake baada ya baba yake kufariki 1999 na mara mojo kuboresha rekodi yake mbaya dhidi ya haki za binadamu na kupunguza umasikini.

Jose Eduardo dos Santos - Thamani:$20b (Tsh. 46,110,000,000,000.00t)
Nchi: Angola, Miaka ya uongozi: 35



Jose Eduardo dos Santos ni Rais wa Angola. Ameka kwenye kiti hicho tangu 1979. Wakati asilimi 70 ya Waangola wanaishi chini ya dola mbili (Tsh500) kwa siku. Mwanae Isabel dos Santos ni mmoja kati ya Mabilionea wa Afrika na thamani ya £3.8b. Kwa sasa ni mwanamke tajiri Afrika na mwanake tajiri mweui dunia nzima.

2 comments:

  1. UTAJIRI AU FEDHA ZA NDAGU AU MAJINI KWA MUDA MFUPI.

    (Kwanza kabisa nataka kukwambia kwamba hakika utajiri ni hazina kutoka kwa mwenyezi Mungu na pia kuna viumbe alio wapa mamlaka na nguvu ya kumiliki mali)

    CALL/WHATSUP +255 742162843

    MPAKA MASAA 72(SIKU3) PAPO HAPO KWA MASHARTI MAALUM NA NAFUU KIKUBWA UWE MWAMINIFU, JASILI NA UWE NA UTAYARI WA KUPOKEA MASHARTI YA KUTUNZA SIRI HII SIO MZAHA......

    KUMBUKA MALIPO NI BAADA YA KUFANIKIWA

    kwa maelezo kamili piga namba +255742162843

    (KWANINI USUMBUKE,HACHA KUTANGATANGA, NA MAISHA NI MAFUPI PUUZA UONGOFU WA KUWA MTU KUWA TAJIRI NI DHAMBI WAKATI AKUAMBIAE YEYE NI TAJIRI (Tumia ufahamu kujinasuaUTAJIRI WA NDAGU(MASHARTI) NDANI YA MASAA 72(SIKU TATU) PAPO HAPO KIKUBWA UWE MWAMINIFU, JASILI NA UWE NA UTAYARI WA KUPOKEA MASHARTI YA KUTUNZA SIRI HII SIO MZAHA......

    NAITWA DR, MDIRO piga +255742162843. KAMA UNAITAJI PESA ZA MAJINI AU NDAGU YA MALI AU ULINZI KWA MALI YAKO
    (HUSITUME SMS PIGA SIMU KUHEPUKA MATAPELI)
    MATIBABU MENGINEYO NI KAMA UTULIVU KATIKA NDOA, AU KUMVUTA UMPENDAE, KUONDOA MIKOSI, MABALAA, KUOSHA NYOTA, KUITAMBUA NYOTA YAKO NA ASILI YA KAZI YAKE, KAMA UNASUMBULIWA NA MAJINI MAHABA NA SHIDA YA UZAZI.

    NIPIGIE +255742162843. KIKUBWA NI KUSIKILIZA NA KUFATA MASHARTI. ANGALIZO USITUME SMS PIGA NA UWE NA NIA.

    (kuhusu utajiri au pesa) KABLA YA KUPIGA SIMU ZINGATIA YAFUATAYO
    1. uwe una umri wa miaka 18+
    2. uwe tayari kupokea masharti yote
    3.uwe na uwezo wa kutunza siri
    4. uwe jasiri wa kupokea taarifa yoyote
    KARIBU SANA KWA SHIDA NYINGINE PIA ULIYONAYO AMBAYO SIJATAJA INSHAALAH ITATATULIWA IKIWA NDANI YA UWEZO WANGU

    ReplyDelete
  2. IFAHAMU MIZIMU NA UNDAANI WAKE KATIKA KUOMBA LOLOTE MALI UPONYAJI, PESA ZA NDAGU PIA NATOA PESA ZA MAJINI(chuma ulete, majini wa kufuga na wa bahati)

    DOKTA MDIRO whatsp/call +255 742162843

    ANGALIZO HUSIJARIBU JAMBO ULIZA KWA MAELEKEZO

    Omba lolotee kwa njiaa ya mizimu mungu atatenda asema DOKTA MDIRO,

    Kuna watu wakisikia neno mzimu wanatimkaa mbio lakini wakisikia neno mtakatifu wanabarikiwa na wakati ni kitu kilekile kasoro jina tu.

    Daktari wa kiafrika anaitwa mganga wa kienyeji na wa kigeni ni Mtaalamu au mwanasayansi.

    Ibada takatifu zinaitwa Kusali na za lienyeji zinaitwa matambiko amka wacha kulala.

    watakatifu wa kiafrika wanaitwa mizimu, Mzimu nii binadamu yeyote yule aloachaa mwili na ANAISHIII na mungu karibu, kwaiyo sisi sote nii mizimu watarajiwa, unapomfananisha Mzimu na shetaani nikukataa ukuu wa afrikaa, wazungu Mzimu uloishiii vizuri dunian wanauita mtakatifu sisi mizimu iloishi vizuri na VIBAYA duniani tunaayaita mashetani.

    Ndiomaana ktk orodha ya watakatifu karibu wote wazungu, waafrika wa kuwahesabu, @highlight Following Everyone Products @highlight TAWALA ZA MAJINI NA TIBA ZAKE NA NJISI YA KUWA TUMIA Followers Hub

    WAZUNGU KWENDA MAKABURINI WANAITA HIJJA , SISI KWENDA MAKABURINI TUNAITA MATANDIKO, HATA MZIMU WA NYERERE UMECHUKUWA MUDA KWELI KUFANYWA MTAKATIFU KWASABABU HAKUWA MZUGU.
    🤫DOKTA MDIRO ANASEMA MIZIMU INAFAIDA KUBWA KTK MAISHA YA MUWAFRIKA, KUIKATAA NI KUKUBALI BALAAA NA KUKUBALI NI CHAZO CHA BARAKA.
    NA MAISHA MEMA APA DUNIANI,
    😒 Mikosi, manyanyaso balaa, na gundu ulizonazo haziwezi kuondoka mpk ukutane na mizimu yenu .
    Dokta MDIRO ANAKUAMBIA MIZIMU YA BIBI YAKO NA BABU YAKO INAA MAJIBU YA MATATIZO YAKO.

    ReplyDelete